MAAJABU: MAMA AJIFUNGUA MTOTO ‘MZEE’, AZUA TAHARUKI KUBWA, DAKTARI AELEZEA..

YAMKINI umepata kusikia mama aliyejifungua jiwe mkoani Mara katika Nchi ya Tanzania au mama aliyejifungua kiumbe wa ajabu na kusababisha taharuki kubwa, lakini simulizi inayozungumzwa zaidi kwa sasa ni ya mama aliyejifungua mtoto aliyezeeka na kuonekana kama bibi kizee wa miaka 70 na kuendelea, IJUMAA WIKIENDA linaripoti.

Katika hali isiyo ya kawaida mama mmoja raia wa Afrika Kusini mwenye umri wa miaka 20, amejifungua mtoto wa kike mwenye sura iliyozeeka au inayofanana na mtu mwenye umri uliofikia uzee huku akiwa katika hali kama vichanga wengine.

TAHARUKI
Mama huyo kutoka eneo la Libode ambako ni Mashariki mwa Jiji la Cape Town nchini Afrika Kusini, alijifungua mtoto huyo akiwa nyumbani hivi karibuni na kusababisha taharuki kubwa kwa watu wa jamii yake.

⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx

⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: https://www.youtube.com/playlist?list=PL22mc2rU91vDNQjLA5ikELAOcJp5XrakD

⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com

⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: https://www.youtube.com/playlist?list=PL22mc2rU91vD-h-a328gR3qltQXYWVQiO
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline

30 Comments

Leave A Reply