EMMANUEL MAHOP DIKONGUE WELCOME TO YOUNG AFRICANS SC/YANGA SC 2023?
MAHOP – SKILLS – CANON YOUNDÉ – CAMEROON

Instagram:
@f.a.o.t.w

24 Comments

  1. Mnaanza kubeza kwenye clip wengi wenu hamjui boli maana hata clip za max wengi wenu mlibeza vle vle kwamba hana uwezo wa kucheza yanga,juz mmeona wenyewe pumbavu zenu😮

  2. huyu jamaa ni Yipe aliyechangamka, yani haifai kabisa Yanga, baadhi ya wachambuzi wa bongo hovyo kabisa wanamkandia Sudi Abdallah wanampigia chepuo huyu jamaa ili Yanga wasajili galasa. Sudi wameona ataipa mafanikio Yanga, ana kasi kama Mayele, analijua goli na anafanana kila kitu na Mayele, ni streaker hatari sana kuliko huyu jamaa.

Leave A Reply