Achraf Hakimi wa PSG atoa msaada wa bilioni 10 Arusha
Taarifa kamili kuhusu nyota wa PSG, Achraf Hakimi kutoa msaada wenye thamani ya shilingi bilioni kumi (10) kwenye Shule ya Patandi, iliyoko Tengeru, Arusha huku akisakata kabumbu na wanafunzi wa shule hiyo.
Tafadhal naomba hizi taarfa mjitahid kutoa Maelekezo sahihi Mnavunja moyo au mnaeza potosha jamii Au inawezkana mka harbu hata swadaka anayotoa ,HIVI 10biln si hela ndogo jaman Alaaaaaa msitokeseee Mnatuchukuliaje lakini hivi??? Hivi GSM/young africa ndyo kuchangia magodoro na vitanda kutangaza hvyo,Tuwe tunasaidia mambo yenye tija na kuleta msaada sahihi kwa wenye uhitaj (Mnatukosea sana watz)
10 Comments
Congratulations 🎉🎉👏👏 hakimi
Ni Bilioni 1 au Bilioni 10 ? Kuweni makini sana kwenye kuongeza hizo 0
Tafadhal naomba hizi taarfa mjitahid kutoa Maelekezo sahihi
Mnavunja moyo au mnaeza potosha jamii
Au inawezkana mka harbu hata swadaka anayotoa ,HIVI 10biln si hela ndogo jaman
Alaaaaaa msitokeseee
Mnatuchukuliaje lakini hivi???
Hivi GSM/young africa ndyo kuchangia magodoro na vitanda kutangaza hvyo,Tuwe tunasaidia mambo yenye tija na kuleta msaada sahihi kwa wenye uhitaj (Mnatukosea sana watz)
Media kubwa kama hii mnaandika habari kubwa kwa kukurupuka na mmetype kabisa hadi ndani ya habari bilion 10
Billion 1 Sio 10
Ni bilion 1 waropokaji wanazingua kusema billion 10
thanks bro for your kind heart God bless you 🙏 all the best to you
Daa Leo azam mmezinguaa
mungu amzidishie
❤❤❤❤❤