Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akilihutubia Taifa kupitia Vyombo mbalimbali vya Habari kuhusu kifo cha Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi kilichotokea katika Hospitali ya Mzena Jijini Dar es salaam alikolazwa kwa matibabu ya Saratani ya Mapafu tarehe 29 Februari 2024.

20 Comments
Apumzike kwa Amani
Rest easy
Inna lillahi wa Inna ileihi rajiun allahumma ghfirlahu waarhamhu waaskinhu fil jannah
Ina lillahi waina illah lajiun
https://www.youtube.com/channel/UCcsh_MamETjVbacronGcXxw
R.I.P MZEE RUKSA
Duh!π’
Pumzika Kwa amani mzee wetu
bwana alitoa bwana ametwaa jinalake lihimidiwe.ππ
Yeye mbele yetu sisi nyuma yake Mungu atupe mwisho mwema
Inna lillahi wainnaa ilayhi rajiuun,M/Mungu akusamehe madhambi Yako yote,na akufutie makosa Yako yote,na alifanye kaburi lako kuwa radhwat min riyadhwi ljannahπ€²πππ
ππππ€²π€²π€²πΉπΏπΉπΏ
Inalilahi wa innaileyhi rajioon rest in peace former president
Duu! apunzike mzee wetuπππ
May Allah grant him Jannah
Pumzika kwa amani baba etuπ’π’π’
Rip Ali Hassan Mwinyi, you will be missed
π’π’π’π’π’π’ Ee Mungu umjaalie mja wako makazi mema Peponi!
Mwenyezi Mungu ampe pumziko la milele amina
BURIAN MHESHINIWA ALLY HASSAN MWINYI RAIS MSTAAF WA AWAMU YA PILI MUNGU AILAZE ROHO YAKO MAHALA PEMA PEPONI,,BEANA AMETOA NA BEANA AMETWAA BASI JINA LAKE LIHIMIDIWE.π’π’π’