MANDONGA VS ALIBABA: Ni Vitasa Night Arusha, Karim Mandonga akimpiga Alibaba Tarimo kwa pointi, pambano la raundi nne. Tazama jinsi ngumi ya Pelesu Pelesu ilivyofanya kazi kutoka kwa Karim Mandonga Mtu Kazi.

Ni pambano la utangulizi katika Usiku wa Mabingwa (#DisciplineNight ) pambano kuu likiwa ni Mfaume Mfaume vs Idd Pialali. Hapa ni AICC Arusha.

#Vitasa #VitasaArusha #AchaInyeshe #VitasaNight #Vitasa #UsikuWaMabingwa #AchaInyeshee #Pelesupelesu

35 Comments

  1. Hivi huyu mandonga anashinda kwa vigezo gani chezo wangumi nao mshaufanya kuwa na machawa kama wakina mandonga sijui huyu jamaa anapigana au anapaka watu mafuta

Leave A Reply