MANDONGA VS ALIBABA: Ni Vitasa Night Arusha, Karim Mandonga akimpiga Alibaba Tarimo kwa pointi, pambano la raundi nne. Tazama jinsi ngumi ya Pelesu Pelesu ilivyofanya kazi kutoka kwa Karim Mandonga Mtu Kazi.
Ni pambano la utangulizi katika Usiku wa Mabingwa (#DisciplineNight ) pambano kuu likiwa ni Mfaume Mfaume vs Idd Pialali. Hapa ni AICC Arusha.
#Vitasa #VitasaArusha #AchaInyeshe #VitasaNight #Vitasa #UsikuWaMabingwa #AchaInyeshee #Pelesupelesu

35 Comments
Bendera ya kuzimuuu
Mandonga ana body nzuri lakini ni mweupe kabisa….
Mandonga anajikuta mwamba Kweli 😂🤣🤣🤣
Hongera sanaa mtaalam. Big up
Mandonga Mimi napenda uwe unapigwa tu ndo nafurahi🤣🤣🤣🤣🤣🤸
Lilikuwa pambano la mashoga tu hamna lolote mbwa nyinyi.
Lakini si tumekubaliana upigwe ndo hyu kipofu ataona huku?
Mandonga pimbi
Alibaba yuko vizur anakosa mbinu chache sana angetumia urefu wake hapo kijanja angemtoa knokout
Alibaba ni mzoefu sana ulingoni
Mapambano ya vurugu mechi hakuna mpangilio
Pambano halina mvuto
Kiuhalisia Mapambano kwa mwaka mabondia Dunian wanapigana mara 2 ikienda mara Tatu mwaka Huu 2022 mandonga mapambano kama matano kashapigana
🧐🧐🧐🧐🧐🤓🤓🤓
Naona refa ana swet
Mtukazi😂😂😂
Jamaa kama ameenda age sanaaa
Ngumi za majogoo
Mandonga anakwepa ngumi wala hajarushiwa ngumi
namkubal xan mandonga
Mtu kazi😁
I LIKE Upendo Njau
Tarimo anakaba sana Hana technic nzuri bhana
Huna Mby Mandonga
Boxing gani hizo kama muko date Kila Saa mwakumbatiana pumbaaav ….ila mandonga nakukubali mzee was pelesu pelesuu
Sijawahi ona such long Red short's kwa any boxing
Huyo Tarimo hamna kitu😆
huyu mandonga hajapata mtu wa kumtia ngumi
Hapo hamna mabondia ni wapiga tiz tu
Hivi huyu mandonga anashinda kwa vigezo gani chezo wangumi nao mshaufanya kuwa na machawa kama wakina mandonga sijui huyu jamaa anapigana au anapaka watu mafuta
🤣🤣🤣🤣🤣
Huyo ndio mandonga bwana
Mandonga cheza ngumi hapa hapa tz ukenda nje uko utapijwa masumbwi mpaka ufe ngumi gani hz za comedy
Wameamua kumtafutia vibabu anwjigongea tu
Mandonga anaowataka kina dulla mbabe watakuja kumuua aisee